www.kenethngamoga.blogspot.com

Wachina 3 washtakiwa Marekani kwa udukuzi

Waendesha mashtaka mjini New York wamewashtaki raia watatu wa China kwa tuhuma za udukuzi wa mitandaoni
.


Image caption












Waendesha mashtaka mjini New York wamewashtaki raia watatu wa China kwa tuhuma za udukuzi wa mitandaoni
Waendesha mashtaka mjini New York wamewashtaki raia watatu wa China kwa tuhuma za udukuzi wa mitandaoni.
Wanadaiwa kudukua kompyuta za ofisi binafsi za wanasheria wa Marekani wanaotoa ushauri kuhusu kuhusu ubia wa kibiashara.
Wadukuzi hao wanasemekana waliiba taarifa muhimu ambazo ziliwafaidi pakubwa pale waliozitumia kununua hisa baada ya kupata habari za ndani za kampuni walizolenga.
Mmoja wa wadukuzi hao alikamatwa Hong Kong, huku wengine wakiwa wangali wanasakwa.
Kwa upande wake kampuni zimeshauriwa kuchukua hatua zaidi za kulinda taarifa zao za siri kuhusu biashara na kazi zao.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment