www.kenethngamoga.blogspot.com

CONFIRMED: Mtanzania Farid Musa anaenda kucheza soka Hispania, katumiwa tiketi

Mchezaji wa Azam FC ambaye amekuwa akiripotiwa kwa zaidi ya miezi kadhaa kuwa ataenda kujiunga katika timu ya Tenerife ya Hispania inayoshiriki Ligi daraja la pili Farid Musa huku akiwa amekwama Tanzania kwa madai ya vibali, leo December 27 2016 imetoka good news kuhusu dili hilo
Mchezaji wa Azam FC ambaye amekuwa akiripotiwa kwa zaidi ya miezi kadhaa kuwa ataenda kujiunga katika timu ya Tenerife ya Hispania inayoshiriki Ligi daraja la pili Farid Musa huku akiwa amekwama Tanzania kwa madai ya vibali, leo December 27 2016 imetoka good news kuhusu dili hilo.
img-20160428-wa0022
Azam FC kupitia kwa mkuu wao wa idara ya habari na mawasiliano Jafar Iddi amethibitisha kuwa timu ya Tenerife ya Hispania imekamilisha taratibu za tiketi na tayari imetuma tiketi ya ndege ambapo inaonesha kuwa Farid ataondoka kesho December 28.
screen-shot-2016-12-27-at-4-58-34-pm
Tiketi ya ndege ya Farid Musa
Farid ataondoka Dar es Salaam kesho December 28 saa 23:00 akipitia AmsterdamBarcelona na baada ya hapo ndio ataelekea Tenerife moja kwa moja, Farid alikwenda Hispania April 22 2016 kufanya majaribio na kufuzu ila alikwama kwa kuchelewa kupata kibali cha kazi.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment