www.kenethngamoga.blogspot.com

VideoMPYA: Darassa na Ben Pol wametuletea hii inaitwa ‘muziki’

Bongofleva inajivunia pia kuwa na Darassa,  wengi wameimba nae sana kwenye hit single ‘Too Much’ ila leo katuletea hii mpya ya ‘muziki‘ kamshirikisha Ben Pol, video imefanywa hapahapa Tanzania na Director Hanscana, ukishaitazama tafadhali usiache kuandika comment yako ili wakipita hapa baadae wajue watu wao wameipokeaje.

Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment