www.kenethngamoga.blogspot.com

Tanzania imeporomoka tena katika viwango vya FIFA

Taarifa iliyopo kwa sasa kwa Tanzania katika viwango vya soka Ulimwenguni ambavyo utolewa na shirikisho la soka ulimwengu, imeonesha Tanzania kushuka katika viwango hivyo kwa mara nyingine tena.
Taarifa iliyopo kwa sasa kwa Tanzania katika viwango vya soka Ulimwenguni ambavyo utolewa na shirikisho la soka ulimwengu, imeonesha Tanzania kushuka katika viwango hivyo kwa mara nyingine tena.
Tanzania kwa sasa imeshuka kwa nafasi 16 hadi nafasi ya 160 katika viwango vya FIFAna sasa kwa upande wa Afrika itakuwa nafasi ya 48, kabla ya viwango hivyo vipya kutolewa Tanzania ilikuwa nafasi ya 144.
Tanzania imeshuka katika viwango vya FIFA baada ya kupoteza katika mchezo wake dhidi ya timu ya taifa ya Zimbabwe uliyochezwa Harare November 13 2016 na Tanzaniakukubali kipigo cha goli 3-0, mchezo huo wa kirafiki ulikuwa katika kalenda ya FIFA na ndio umetumika kuishusha Tanzania.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment