www.kenethngamoga.blogspot.com

Muendesha mashitaka kaomba Neymar ahukumiwe miaka miwili jela

Headlines za uhamisho wa Neymar mwaka 2013 kutoka Santos kujiunga na FC Barcelona zinazidi kuchukua headlines kila kukicha, leo November 23 2016 suala hilo limechukua headlines mpya baada ya muendesha mashitaka kuomba  Neymar na Rais wa zamani wa FC Barcelona Sandro Rosell wahukumiwe.

Headlines za uhamisho wa Neymar mwaka 2013 kutoka Santos kujiunga na FC Barcelona zinazidi kuchukua headlines kila kukicha, leo November 23 2016 suala hilo limechukua headlines mpya baada ya muendesha mashitaka kuomba  Neymar na Rais wa zamani wa FC Barcelona Sandro Rosell wahukumiwe.
Muendesha mashitaka amemuomba jaji Jose Perals kumuhukumu Neymar miaka miwili na kumuhukumu Rais wa zamani wa FC Barcelona Sandro Rosell miaka mitano jela kwa kosa la rushwa na ukwepaji kodi katika uhamisho wa Neymar 2013.
84901
Sandro Rosell na Neymar
Hata hivyo klabu ya FC Barcelona itapigwa faini ya pound milioni 7.2 kwa kosa hilo pia, kama utakuwa unakumbuka vizuri Sandrol Rosell alijiuzulu nafasi yake ya urais wa FC Barcelona mwaka 2014 kufuatia tuhuma za uhamisho wa Neymar ambazo zimegubikwa na ujanja ujanja.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment