Moja ya video zinazotazamwa sana kwa sasa kwa hapa nchini Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania ni Zigo ya At ft diamondplatnumz ambayo INA views zaidi ya 2million YouTube imezuiliwa kuonyeshwa mchana katika vituo vya Tv hapa nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mamlaka ya mawasiliano Tanzania #tcra imesema kuwa kwa jinsi maudhui ya video hiyo yalivyo no yakingono hivyo inapashwa kuonyeshwa kwenye runinga za hapa Tanzania kuanzia SAA NNE usiku hadi SAA kumi na moja alfajiri
0 comments:
Post a Comment