Star wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Ali salehe kiba amesema kuwa kamwe hawezi kuimba nyimbo zenye matusi kwakuwa anaamini hata mama yake ni shabiki namba moja wa muziki hivyo hapendi kumkosea
Ali kiba ambae kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa Lupera amesema kuwa sio jambo jema kwa wasanii kuimba nyimbo zenye lugha za matusi na kuudhi na hii ni kuwakosea heshima mashabiki
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na
Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata
habari mpya.
0 comments:
Post a Comment