Muongozaji wa video anaekuja kwa kasi hapa nchini Hanscana amwemjibu Qchilla kufuatia tuhuma alizotoa kwamba Directors wa bongo hawana lolote,na kusema kuwa chilla anapaswa kukaa pembeni na awaache vijana wafanye yao
Pia hanscana amesema kuwa maneno hayo ya Q chilla ni dalili ya MFA maji haishi kutapatapa kwani kwa miaka 17 ambayo yupo kwenye game anapaswa kuwa na kila kitu chakushangaza hana lokote
Kwa siku za hivi karibun wasanii baadhi wamekuwa wakisema kuwa waongozaji wa video wa Tz hawana lolote hali inayoleta sintofahamu kwa wadau mbali mbali wa burudani hapa nchini
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na
Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata
habari mpya.
0 comments:
Post a Comment