www.kenethngamoga.blogspot.com

TRA na Jeshi la Polisi walivyonasa makontena Mbezi Dar


Najua bado kuna headlines kuhusu ishu ya makontena 349 kupotea bandarini Dar es Salaam na mpaka leo Jeshi la Polisi limethibitisha kuwashikilisa watu 12 kutokana na tuhuma hizo

.#Habari>Jeshi la Polisi na TRA wamekamata makontena 9 Mbezi Tanki Bovu Dar, wanahisi yalikuwa yakitoroshwa.HABARIITV
— keneth ngamoga (@kenethngamoga) December 1, 2015
Kituo cha ITV wameripoti habari dakika chache zilizopita kuhusu kukamatwa kwa makontena tisa eneo la Mbezi Tanki Bovu Dar es Salaam… Jeshi la Polisiwameshirikiana na Mamlaka ya Mapato TRA kufanikisha kukamatwa makontena hayo, yanahusiana na yaliyopotea bandarini Dar?
12295418_815408298570146_1933358996551573699_n
Naendelea kuifatilia hii kwa ukaribu chochote kitakachonifikia nitakusogezea any time mtu wangu.
IMG-20151201-WA0015
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment