www.kenethngamoga.blogspot.com

Navykenzo wanakuja na Album mwaka 2016,lakini huu ni utofauti wa album yao na album zingine #Mauzo

Mwaka 2015 ni mwaka uliotangazwa na wasanii wengi wa Bongo Fleva kutoa album zao,lakini mpaka mwezi wa 11 mwaka huu hakuna msanii ambaye kafanikiwa kuachia album licha ya baadhi ya wasanii kusema kuwa watamuuzia Said Fela lakini pia hazijafanikiwa kutoka ikumbukwe mpango huu umesimama zaidi ya miaka 3 wasanii kuachia album.
Inawezekana Navykenzo wakaufungua mwaka 2016 rasmi kwa kuachia album yao ambayo wamesema itakua na utofauti wa vitu vingi ikiwemo mfumo wa uuzwaji wa album hiyo>>’Mpaka sasa hivi album imeshakamilika na inaitwa Above in minutes,ndani yake kuna wasanii wa nje na wa ndani kama Young Dee na G Nako ina ngoma 8,tutauza Online na kwenye Cd lakini itakua ni kwa Oda tu hata kama ni online itakua ni oda tu ukishalipia siku ikitoka unapewa ya kwako baada ya hapo itakua ni ngumu kuuza
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment