www.kenethngamoga.blogspot.com

#Goodnews, hawa ndio watano watakaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za KORA Africa Music Awards 2016!


Good news kwa watu wangu wa Bongo Flevani kwani kila mwaka wasanii wa muziki kutoka nyumbani wanazidi kuipa industry ya Entertainment nuru kubwa katika kuuwakilisha muziki wetu kwenye levo mbalimbali za kimataifa.
Wasanii wa Bongo Fleva wanaipeperusha tena bendera ya Tanzania kwani majina yao yamepata nafasi ya kuingia katika orodha ya wale wote watakaowania tuzo za KORA-Africa Music Awards kwa mwaka 2016, na watu hao ni, Vanessa Mdee, Diamond Platnumz, Yamoto Band, Wakazi na Mrisho Mpoto!
KORA29
Diamond Platnumz.
Kingine kikubwa cha kufahamu kuhusu tuzo hizi ni kwamba msanii atakaye ibuka mshindi kwenye kipengele cha Msanii Bora wa Bara (Best Artist of The Continet) atapokea zawadi ya Tsh. Bilioni 2 (dola milion 1)… na washindi watakaonyakuwa tuzo ya Best Male Artist- West Africa, Best Female Artist- West Africa, Best Male Artist East Africa, Best Female Artist East Africa, Best Male Artist- Central Africa, Best Female Artist- Central Africa, Best Male Artist-South Africa, Best Female Artist- South Africa, na Best Male Artist North Africa na Best Female Artist North Africawataondoka na zawadi ya Tsh. milion 100 kila mmoja (sawa na dola 50,000)!
KORA30
Vanessa Mdee.
Washindi wa vipengele vitakavyobakia wataondoka na zawadi yao ya Tsh Milioni 43 kila mmoja pesa ambayo kwa dola za Kimarekani ni sawa na dola 20,000.
YAMOTO2
Yamoto Band.
Hii ni orodha kamili ya wale wote watakao wania tuzo za KORA- African Music Awards 2016:
KORA1
Most Promising Male Artist of Africa Nominee – Yamoto Band (Tanzania).
KORA3
KORA5
KORA6
KORA7
KORA9
KORA10
KORA11
KORA12
KORA13
KORA14
Best Male East Africa Nominee – Diamond Platnumz (Tanzania).
KORA15
KORA16
KORA17
KORA18
Best Hip Hop Nominee – Wakazi (Tanzania).
KORA19
KORA20
KORA21
KORA22
Best Female East Africa Nominee – Vanessa Mdee (Tanzania).
KORA23
KORA24
Best Collaboration Nominee – Tusimame feat. Vanessa Mdee (Tanzania).
KORA25
KORA26
KORA8
Best Traditional Male Artist of Africa Nominee – Mrisho Mpoto (Tanzania).
Utaratibu wa jinsi ya kupiga kura bado haujawekwa wazi lakini cha kufahamu kwa sasa ni hiki, Tuzo za KORA -African Music Awards zitafanyika tarehe 20 March 2016, Namibi
a
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment