www.kenethngamoga.blogspot.com

Mbunge Lema ataja sababu za kuhudhuria mkutano wa ACT Wazalendo

March 25 2017 Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema ‘CHADEMA’ ameungana na chama cha ACT Wazalendo kwenye mkutano mkuu wa kidemokrasia wa miaka 50 ya Azimio la Arusha na alipopata nafasi ya kuongea ameeleza sababu za yeye kuhudhuria mkutano huo


Lema amesema hakukuwa na ubaya wa yeye kuudhuria mkutano huo..na kusisitiza kuwa siasa sio vita. 
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment