www.kenethngamoga.blogspot.com

Usitegemee tena kumuona uwanjani Gareth Bale kwa mwaka 2016

Kama ni shabiki wa klabu ya Real Madrid hususani mchezaji Gareth Bale ambaye ni moja kati ya wachezaji ghali zaidi duniani, taarifa hii ikufikie ambayo imetolewa leo kuhusu staa huyo wa kimataifa wa Wales anayeichezea Real Madrid ya Hispania

Kama ni shabiki wa klabu ya Real Madrid hususani mchezaji Gareth Bale ambaye ni moja kati ya wachezaji ghali zaidi duniani, taarifa hii ikufikie ambayo imetolewa leo kuhusu staa huyo wa kimataifa wa Wales anayeichezea Real Madrid ya Hispania.
Taarifa iliyotolewa leo kuwa Bale atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi minne, kufuatia upasuaji wa enka ya mguu wa kulia atakaofanyiwa kutokana na jeraha lake alilolipata katika mchezo wa UEFA dhidi ya Sporting CP uliomalizika kwa Real Madridkuibuka na ushindi wa goli 2-1.
Bale atafanyiwa upasuaji London na kuna uwezekano akaukosa mchezo wa kuwania kufuzu kucheza Kombe la dunia March 24 kati ya Wales dhidi ya Ireland utakaochezwa DublinWales kwa sasa wapo nafasi ya 3 Kundi D linaloongozwa na Ireland akifuatiwa na Serbia kwa tofauti ya point 2
.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment