Halima mdee akipelekwa gerezani
Maoni hayo ya wadau wa siasa nchini yamejiri ikiwa ni siku moja tu tangu kukamatwa na kuwekwa gerezani mbunge wa jimbo la kawe na mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa chadema taifa Halima mdee
Mh mdee akipelekwa Gerezani february 29 |
Kupitia mtandao wa twitter na facebool baadhi ya wadau walikuwa na hayo
Kwanini polisi haimukamati aliyevuruga uchaguzi wa Mayor DSM kwa hati fake ya makahama? @MagufuliJP @Wabunge_CCM pic.twitter.com/kTFF3SdR1d— I stand for change (@mgaboz) March 1, 2016
Napoona haya yanayoendelea nchini naumia sn juu ya jeshi la Polisi. Natafakari sana. Nakumbuka mengi sana, kisha...
Posted by Malisa Godlisten on Tuesday, March 1, 2016
Wakati hayo yakijiri Dar es salaam wilayani kilombero nako mambo hayana tofauti ambapo asubuhi ya tarehe 1,mwezi mchi kulikuwa na zoezi la kuchagua mwenyekiti wa halimashauri ambapo mbunge wa jimbo la kilombero Mh Peter Ambros Lijualikali alikamatwa na kuachiliwa mchana huku uchaguzi ukifanyika na mshindi kupatika kupitia chama cha mapinduzi
Mh Peter Lijualikali(mbunge kilombero)
picha na Maktaba |
0 comments:
Post a Comment