Katika jamii kwa sasa kumekuwa na mambo mengi ynayoendelea na kila mmoja anajaribu kubuni namna ya kufikisha ujumbe kwa wananchi kwa ujumla na hii uchangiwa sana na ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii ikiwemo facebook,twitter,instagram na snapchart
Wachora vikatuni nao ni miongoni mwa wale wanaotumia njia ya vikatuni katika kufikisha ujumbe huku baadhi ya walengwa wakilalamikia hatua hiyo
Rejected by Editor.
Posted by Masoud Kipanya on Monday, March 21, 2016
0 comments:
Post a Comment