www.kenethngamoga.blogspot.com

Ay awatuhumu #tcra kuwa na chuki binafsi chanzo "zigo remix"

At amewatuhumu mamlaka ya mawasiliano tz #tcra kuwa na chuki binafsi na sababu akielezea ni kufungiwa wimbo wake wa zigo remix kuyokuonyeshwa mchana

Kupitia mtandao wa twitter ay amewataka tcra kuandika tena barua ya maelezo kwa madai ya kuwa bado anaziona video chafu kwenye runinga wakati wa mchana huku yake ikifungiwa na kuhoji maadili yako wap
Baada ya Ay kutoa lawama hizo mamlaka hiyo yenye dhamana ya kusimamia mawasiliano nchini imemjibu kwa ufupi na kumtaka afike kwenye ofisi zake ili kujadili hilo na ufafanuzi mwingine
Baadhi ya wadau wa burudani nao hawakuwa mbali katika mtandao huo kutoa mitazamo yao
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment