www.kenethngamoga.blogspot.com

AJARI YA GARI TANGA Watu 11 wafariki na wengine 29 kujeruhiwa katika ajali ya Basi la kampuni ya Simba..

Habari za hivi punde ni ya watu 11 kufariki na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali iliyoh

usisha basi la kampuni ya Simba na Lori lililokuwa limebeba mchanga na kugongana uso 

kwa uso Mkoani Tanga

Habari za hivi punde ni ya watu 11 kufariki na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Simba na Lori lililokuwa limebeba mchanga na kugongana uso kwa uso Mkoani Tanga.
Akihojiwa na ITV kamanda wa Polisi Tanga RPC Mihayo Mskhela amesema ‘Hadi sasa kuna vifo vya watu 11, maiti sita na utaratibu wa kuwakabidhi ndugu unafanyika.’
Vipi kuhusu hali za majeruhi? ‘Majeruhi watano hali zao hadi sasa sio nzuri na Madereva wote wamefariki‘ Kamanda Mihayo
IMG-20160211-WA0003
IMG-20160211-WA0004
IMG-20160211-WA0005
IMG-20160211-WA0006
IMG-20160211-WA0008
IMG-20160211-WA0010

IMG-20160211-WA0011
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment