www.kenethngamoga.blogspot.com

Pep Guardiola kamuomba msamaha Cristiano Ronaldo, kisa?

Siku moja baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya 

Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kuweka wazi kuwa angependa Real Madri

dicheze na Benfica hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, kauli hiyo aliitoa 

kabla ya mchezo wa marudiano wa Benfica na FC Bayern Munich kuchezwa.

B
Siku moja baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kuweka wazi kuwa angependa Real Madridicheze na Benfica hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, kauli hiyo aliitoa kabla ya mchezo wa marudiano wa Benfica na FC Bayern Munich kuchezwa.
Usiku wa April 13 2016 FC Bayern Munich ilicheza dhidi  Benfica ya Ureno na kufanikiwa kuiondoa katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa jumla ya goli 3-1, hivyo ndoto ya Ronaldo ya kutamani Real Madrid icheze na Benfica ikawa imeishia hapo.
Baada ya FC Bayern Munich kufuzu hatua ya nusu fainali kwa kuitoa Benfica, kocha waFC Bayern Pep Guardiola amemuomba Cristiano Ronaldo msamaha kwa kuikatisha ndoto yake ya kutamani Real Madrid icheza na Benfica nusu fainali, Guardiola aliongea katika lugha ya utani baada ya kuitoa Benfica.
“Samahani kwa kuivunja ndoto ya Ronaldo najua alipenda kucheza dhidi ya Benfica hatua inayofuata lakini haikuwezekana” >>> Guardiola
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment