Kupitia akaunti yake ya twitter mapema asubuhi ya tarehe 29 kikwete amempongeza Samata kwa ushindi huo na kumtaka akaze buti kwa kuzingatia juhudi na Nidhamu
Hongera kwa goli lako la kwanza katika klabu yako mpya Mbwana. Endelea kuzingatia nidhamu & bidii ufike mbali zaidi. pic.twitter.com/qYoJCFQFsx— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) February 29, 2016
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
0 comments:
Post a Comment