www.kenethngamoga.blogspot.com

Mbunge wa Chumbuni Akijumuika na Wananchi wa Jimbo lake Kuitikia Wito wa Rais Dk Johm Magufuli Hapa Kazi Tu.

 Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe.Ussi Salum Pondeza AMJAD akishirikiana Wananchi wa Jimbo lake kutekeleza Wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufu wa Hapa Kazi Tu. kwa kufanya usafi katika maeneo ya Jimbo lao.
 Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakishiriki katika Usafi wa Mazingira ya Jimbo Lao.
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakifanya Usafi katika maeneo ya Jimbo lao wakijumuika na Mbunge wao Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD katika kuitikia Wito wa Hapa Kazi Tu, kuadhimisha Miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.
Imetayarishwa na Othmanmapara.Blogspot.
Zanzinews.com
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment