www.kenethngamoga.blogspot.com

“Unadhani Diamond, Wizkid, Burnaboy etc. sio International, Update your IOS” Jibu la AKA kwa wanaouliza lini atafanya Collabo za kimataifa

Rapper wa Afrika kusini, AKA amesema kufanya collabo za kimataifa sio mpaka ufanye na wasanii wa nje ya Afrika.
Kupitia Twitter AKA amewajibu wanaouliza lini atafanya collabo za kimataifa,  amesema kufanya collabo na Diamond, Wizkid au Burna boy ni kufanya collabo za kimataifa

"AKA when are you going to do a song with an INTERNATIONAL artist?" 😓 WTF is Diamond, Wizkid, Burna etc? 😵 LOCAL? Update your IOS please.
— AKA (@akaworldwide) November 18, 2015

AKA ameashiria wazi kuwa tayari anacollabo ndani na Diamond, Wizkid na Burnaboy ambaye tayari wameshirikiana kwenye baadhi ya nyimbo.
AKA alikuja Tanzania mwezi wa tano mwaka huu kwa ajili ya ‘Zari all white party’ na aliingia studio na Diamond na Joh Makini ambaye tayari wimbo umetoka.

Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment