Wabunge wa CCM leo Mjini Dodoma wamempitisha Job Yustino Ndugai kuiwakilisha CCM katika Uchaguzi wa Spika utakaofanyika hapo Kesho.
Abdullah Mwinyi na Dkt. Tulia Mwansasu walijitoa kwenye kinyang'anyiro
Ungana na mimi kupitia
Facebook ,
Twitter na
Instagram Pia subscribe
Youtube ili uwe wa kwanza kupata
habari mpya.
Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
0 comments:
Post a Comment