www.kenethngamoga.blogspot.com

VIDEO: Goli la Samatta lililoiokoa KRC Genk na kipigo dhidi ya Standard Liege Dec 18 2016

Jumapili ya December 18 2016 KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta iliwakaribisha Standard de Liege katika uwanja wao wa Luminus kucheza mchezo wao wa 18 wa Ligi Kuu Ubelgiji msimu wa 2016/2017
Genk wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani walianza kupata goli la uongozi dakika ya 3 kupitia Omar Colley kabla ya dakika ya 16 Orlando Carlos kufunga goli la kusawazisha na dakika ya 25 Ishak Belfodil kuongeza goli la pili na kuanza kuwa makini na ulinzi wa goli lao kuwadhibiti Genk.
Mchezo ulienda mapumziko KRC Genk wakiwa nyuma kwa goli 2-1 hali ambayo iliwawia vigumu kupata goli la kusawazisha mapema, Samatta ndio alikuwa mkombozi wa KRC Genk baada ya dakika ya 77 kupachika goli la kusawazisha kwa kichwa kupitia krosi iliyopigwa na Jere Uronen na kuufanya mchezo kumalizika kwa sare ya 2-2
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment