www.kenethngamoga.blogspot.com

waziri mkuu afanya kikao na mawazri

Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano
Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano.
Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufulialituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19…
Wale Mawaziri na Manaibu Waziri ambao tayari wamethibitishwa na kula kiapo, leo wamekutana kwa mara ya kwanza na Waziri Mkuu Majaliwa ofisini kwake.. kazi inaendelea, ripoti nyingine yoyote ikinifikia nakusogezea hapahapa mtu wangu.
PM MAJA IIPM MAJA IIIPM MAJA
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment