Taarifa iliyochukua vichwa vya habari vya magazeti ya leo June 01 2016 ni kuhusu mauaji ya watu wanane waliouawa na watu wanaodhaniwa ni majambazi katika kata ya Mzizima, tarafa ya Chumbageni jijini Tanga.

Msitu wa Mapangopori ya Amboni ndio unaodaiwa kuwa ni njia kuu ya watu wanaohofiwa ni majambazi waliofanya mauaji katika Kitongoji cha Kibatini, Kata ya Mzizima, Tarafa ya Chumbageni, Tanga.
Mhandisi Hamad Masauni, Kamanda wa Polisi Tanga, Leonard Paulo (kulia) na Mkuu wa Kikosi Maalum kutoka Kikosi cha Kutuliza Ghasia Makao Makuu Dar es Salaam, Mratibu Mwandamizi wa Polisi, William Mwampagale (katikati).

.


Mhandisi Hamad Masauni na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigella

0 comments:
Post a Comment