www.kenethngamoga.blogspot.com

Baada ya Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu nae kapata timu Ulaya

Baada ya kumalizana kimkataba na timu ya TP Mazembe ya Congo DRC mwishoni mwa mwaka 2016 na kutotaka kuongeza mkataba kwa madai ya kuwa anaenda kucheza soka Ulaya, mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Thomas Ulimwengu amepata timu ya kucheza Sweden na tayari amesaini mkataba wa kuitumikia.

Baada ya kumalizana kimkataba na timu ya TP Mazembe ya Congo DRC mwishoni mwa mwaka 2016 na kutotaka kuongeza mkataba kwa madai ya kuwa anaenda kucheza soka Ulaya, mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Thomas Ulimwengu amepata timu ya kucheza Sweden na tayari amesaini mkataba wa kuitumikia.
Thomas Ulimwengu amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea timu ya inayoshiriki Ligi Kuu Sweden inayoshirikisha timu 16 ambapo kwenye Interview na shaffihdauda.co.tz Ulimwengu amethibitisha dili hilo kukamilika na kwa sasa anasubiri VISA tu.
 “Kweli nimesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo nitajiunga nayo hivi karibuni, kwa sasa nashughulikia mambo ya visa na taratibu nyingine, kuanzia wiki ijayo  nitakuwa nimeshajiunga na timu ya Athletic Football Club Eskilstuna  ya Sweden
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment