www.kenethngamoga.blogspot.com

Diamondplatnumz tena kwenye Runinga yako

Kutoka TANDALE mpaka dunia kumfahamu msanii mashuhuri kwa sasa barani Africa,BAADA YA KUACHIA WIMBO WAKE WA utanipenda wiki hii anategemea kuachia video yake aliyomshirikisha Rapa AKA kutoka AFRIKA KUSIN
Kituo cha Television cha MTV BASE kimepewa tena nafasi ya kuionyesha kwa mara ya kwanza video ya mdundo mpya wa mwimbaji wa bongofleva Tanzania Diamond Platnumz time hii akiwa na rapper wa South Africa AKA na huo mdundo unaitwa ‘MAKE ME SING
diamond 2
Mdundo huu mpya unadrop Ijumaa ya February 12 2016 ambapo toka February 9Diamond Platnumz aliwaambia mashabiki zake wakae tayari kwa single mpya kama inavyosomeka Tweet yake hapa chini.Diamond 4

Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment