www.kenethngamoga.blogspot.com

Aliyemtukana Rais Magufuli facebook achangiwa fedha akalipie faini

June 08 2016 Mahakama Kuu kanda ya Arusha ilitoa maamuzi kwa Isaac Abakukambaye alishitakiwa kwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook ambapo mshitakiwa alitakiwa kulipa millioni 7 au kutumikia kifungo cha miaka 3 gerezani.
June 08 2016 Mahakama Kuu kanda ya Arusha ilitoa maamuzi kwa Isaac Abakukambaye alishitakiwa kwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook ambapo mshitakiwa alitakiwa kulipa millioni 7 au kutumikia kifungo cha miaka 3 gerezani.

Baada ya kukiri kukiri kutenda kosa hilo mahakama iliamuru alipe fedha hizo kwa awamu mbili, katika awamu ya kwanza atalipa July 8 2016 sh mil 3.5 na August 8 2016 atalipa kiasi kilichobaki cha sh mil 3.5.
Leo June 17 2016 amekabidhiwa kitita cha shilingi milioni 4.5 kama sehemu ya kwenda kulipa faini mahakamani, fedha hizo zilichangwa na wanaharakati na wadau wa mitandao kupitia mratibu wa ukusanyaji wa michango hiyo kwa kanda ya kaskazini Ephata Nanyaro.

Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment