www.kenethngamoga.blogspot.com

Binti BUBU na KIZIWI Ashinda Taji la Miss Utalii Kenya

Ni kiziwi na bubu.. lakini licha ya hayo ndiye mwakilishi wa warembo kutoka mkoa wa Pwani katika tamasha la utalii nchini yaani Miss Tourism ambalo linatarajiwa kuandaliwa katika kaunti ya Vihiga.
Mwanahabari wetu Baraka Karama alikutana na Bi Babley Mukila ambaye alimueleza kuwa japo ni mlemavu, ana imani kuwa atawabwaga wapinzani wake
Angalia Video hapa chini
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment