www.kenethngamoga.blogspot.com

Diamond na Mafikizolo watua bungeni kusikiliza makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari

Staa wa muziki nchini, Diamond Platnumz na wasanii wa Afrika Kusini, Mafilizolo, wametua bungeni Dodoma Alhamisi hii kusikiliza randama ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2016/2017.


Kutoka kulia, msanii wa kundi la Mafikizolo, Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Nnauye, Diamond Platnumz, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba, wakiwa nje ya bunge.
Kupitia ukurasa wa instagram wa Diamond, alipost picha na kuandika:

Dakika chache zilizopita nikiwa na Mafikizolo tukiwa na Mh Waziri @JMakamba2015 na #NapeNauye Bungeni Dodoma….. #ColorsOfAfrica Cc @theoMafikizolo @nhlanhla_nciza ….Suit by my Favorite suit Designer @Speshoz
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment