www.kenethngamoga.blogspot.com

DAR: POLISI IMEKAMATA MACHANGUDOA 118 NA WANUNUZI 11

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limendesha oparesheni kabambe ya kuwasaka na kuwakamata machangudoa na wamiliki wa madanguro katika maeneo mbalimbali ya jiji
-
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema katika oparesheni hiyo jumla ya watuhumiwa 161 wanaojihusisha na biashara ya ukahaba walikamatwa, ambapo wanawake ni 118 wanaouza miili yao, wamiliki wa madanguro 33 na wanunuzi wa biashara hiyo ambao ni wanaume 11
-
Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa wamiliki wote wa madanguro na machangudoa kuacha biashara hiyo mara moja kwani oparesheni hii ni endelevu na watakaokamatwa watachukuliwa hatua za kisheria
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment