www.kenethngamoga.blogspot.com

TP Mazembe wamethibitisha Ulimwengu kumaliza mkataba na msimamo wake

Klabu ya TP Mazembe ya Jahmhuri ya Kidemokrasia ya Kongo October 23 2016 ilitangaza rasmi kupitia tovuti ya klabu hiyo kuwa mtanzania Thomas Ulimwenguamemaliza mkataba na TP Mazembe, lakini Ulimwengu hajataka kuongeza mkataba mwingine.
Klabu ya TP Mazembe ya Jahmhuri ya Kidemokrasia ya Kongo October 23 2016 ilitangaza rasmi kupitia tovuti ya klabu hiyo kuwa mtanzania Thomas Ulimwenguamemaliza mkataba na TP Mazembe, lakini Ulimwengu hajataka kuongeza mkataba mwingine.
TP Mazembe kupitia tovuti yao wameeleza kuwa Ulimwengu amemaliza mkataba wa miaka mitano wa kuitumikia klabu hiyo, lakini wameweka wazi kuwa walimuhitaji lakiniUlimwengu amekataa kufanya mazungumzo ya kuongeza mkataba na anataka kuondoka.
mazembe
Taarifa iliyoandikwa na tovuti rasmi ya klabu hiyo
Mapema mwaka huu Thomas Ulimwengu aliongea na AyoTV kutoka Lubumbashi na kuweka wazi kuwa anamalizana na TP Mazembe mwishoni mwa mwaka huu, hivyo kwa sasa malengo yake ni kufuata nyayo za rafiki yake Mbwana Samatta kwenda kucheza soka Ulaya
.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment