Bayezid Hossain kutoka nchini Bangladesh amekuwa akisumbuliwa na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uso wenye makunyanzi, macho yaliyotumbukia ndani, viungo vinavyomuuma, matatizo katika mfumo wa mkojo na kuwa na meno hafifu.
Bayezid Hossain, from southern Bangladesh is only four years old but resembles an old man due to a rare ageing disease
Licha ya kuwa anaonekana anauwezo mzuri kiakili, watu kwenye jamii wanamuogopa hata watoto wenzake hawapo tayari kucheza nae.
Mama yake amesema kuwa ameshangazwa na namna mtoto wake alivyo na uwemzo mkubwa kiakili, lakini anasikitika kwani muoneknao wake si wa kawaida. Alieleza kuwa mtoto wake huyo alinza kutembea akiwa na miaka mitatu lakini akiwa na miezi mitatu alikuwa na meno yote.
He is pictured with his mother TriptiBayezid is believed to suffer from progeria, which ages the body at eight times the normal rate, as well as a condition which causes his skin to hang loosely
Wazazi wake wamesema kuwa mara tu alipozaliwa walishtuka kumuona kwani hata madaktari walikiri kuwa hawakuwahi kuona mtoto kama huyo.
His mother Tripti is heartbroken at her son's unusual appearance. She said: 'He does not look like other children. He looks like an old man. As a first time mother I can’t bear the pain of seeing my child like this'
Aidha waliporudi nyumbani, habari kuhusu mtoto huyo wa ajabu zilisambaa sana kiasi cha mamia ya watu kupanga foleni nyumbani kwao wakitaka kumuona mtoto huyo.
Debashis Bishwas, a consultant from Magura Central Hospital told the family he doesn't think Bayezid will survive for longer than 15 years 
Rafiki pekee mtoto huyo aliyenaye ni binamu yake ambaye amekuwa akitumia muda mwingi naye. Binamu huyo hapendi kuzungumzia hali ya mtoto huyo kwani huwa inamfanya kuumia sana.
'He understands his condition but he doesn’t like to talk about it. He just cries when he feels awkward,' Tripti said about her son