www.kenethngamoga.blogspot.com

Maamuzi mapya wa Jurgen Klopp ndani ya Liverpool

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp aliyejiunga na klabu hiyo mwezi October 2015 akitokea klabu ya Borrusia Dortmund ya Ujerumani, leo July 8 2016 ametangaza maamuzi mapya ndanni ya klabu ya Liverpool.
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp aliyejiunga na klabu hiyo mwezi October 2015 akitokea klabu ya Borrusia Dortmund ya Ujerumani, leo July 8 2016 ametangaza maamuzi mapya ndanni ya klabu ya Liverpool.
Klopp ambaye aliingia mkataba na Liverpool wa kuitumikia klabu hiyo hadi 2018, leo July 8 2016 ametangaza maamuzi mapya baada ya kuamua kuongeza mkataba wa kundelea kuitumikia klabu hiyo hadi mwaka 2022.
3610B06F00000578-3680472-Jurgen_Klopp_has_signed_a_new_six_year_contract_with_Liverpool_a-m-29_1467969950054
Jurgen Klopp katikati akiwa na wasaidizi wake ambao wote wamesaini mkataba wa miaka sita .
Jurgen Klopp ambaye aliiongoza Liverpool katika Kombe la Ligi na Europe Ligi msimu uliopita, alijiunga na Liverpool akiwa na rekodi ya kuisaidia Borrusia Dortmund kushinda mataji mawili ya Ligi pamoja na kuifikisha fainali ya UEFA 2013
.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment