www.kenethngamoga.blogspot.com

Mwigulu Nchemba alivyowasili kumrithi Charles Kitwanga

June 13 2016 aliyekuwa waziri wa Kilimo na mifugo Mwigulu Lameck Nchembaaliapishwa rasmi Ikulu Dar es Salaam kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwiguluameapishwa kurithi nafasi iliyokuwa imeachwa wazi na Charles Kitwanga ambaye RaisMagufuli alifuta uteuzi wake May 2016 kwa kosa la kuingia na kujibu
June 13 2016 aliyekuwa waziri wa Kilimo na mifugo Mwigulu Lameck Nchembaaliapishwa rasmi Ikulu Dar es Salaam kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwiguluameapishwa kurithi nafasi iliyokuwa imeachwa wazi na Charles Kitwanga ambaye RaisMagufuli alifuta uteuzi wake May 2016 kwa kosa la kuingia na kujibu maswali ya wizara hiyo ikiaminika kuwa kalewa.
IMG-20160613-WA0019
Baada ya kuapishwa kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba akiwasili ofisini kwake

IMG-20160613-WA0020
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment