www.kenethngamoga.blogspot.com

Mwalimu aliyewabaka wanafunzi 9 ahukumiwa kifungo cha miaka 90

Mahakama kuu mjini Murang’a imemuhukumu mwalimu mmoja wa shule ya msingi kifungo cha miaka tisini gerezani kwa kuwalawiti wanafunzi tisa.
Mahakama hiyo ilimpata na hatia mshukiwa John Gichia Mugi na kosa hilo la kuwalawiti wanafunzi hawa wa shule ya msingi ya Muthiria kati ya mwezi wa Januari na Mei mwaka uliopita, na kuamua kuwa mshukiwa huyo atatumikia kifungo cha miaka kumi kwa kila mwanafunzi moja aliyemdhulumu.


K24
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment