www.kenethngamoga.blogspot.com

Chidi Benz ameshare video hii akifanya mazoezi nakuandika haya

Rapper Chidi Benz ame-share video hii kwenye ukurasa wake wa Instagram Ikimuonyesha akifanya mazoezi ya pumzi ikiwa ni pamoja na push up, Lakini pia ikimuonyesha akipigwa picha.

Katika video hii ambayo ameshare, Chidi Benz ameandika “Kila kitu ni kuamua na kumuomba mungu. Pray for me #newchidibeenz”
Dondosha comment yako hapo chini juu ya muonekano na ujio mpya wa Chidi Benz
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment