www.kenethngamoga.blogspot.com

Kabla ya mechi ya Taifa Stars vs Burundi kocha wa Burundi amesikia taarifa za Samatta

Kuelekea game ya kimataifa ya kirafiki kati ya Taifa Stars vs Burundi iliyopo katika kalenda ya FIFA itakayochezwa kesho Jumanne ya March 28 2018 uwanja wa Taifa Dar es Salaam , kocha wa Burundi Niyungeko Olivier aliongea na vyombo vya habari na kuwataja wachezaji aliyosikia kuwa hatari.

“Sijui kama mnakumbuka 2014 tulicheza na Tanzania hapa na tukaifunga goli 3-0, nimesikia Samatta pia anacheza Ligi ya Ubelgiji huyu ndio nilikuwa namtaka kuona wachezaji wangu wakimuona Samatta anacheza Ubelgiji watafanya nini unajua mchezaji akitoka nje hapo ndio wachezaji wanataka kujituma”
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment