www.kenethngamoga.blogspot.com

AUDIOMpya: Rich Mavoko na Diamond wamekutana kwenye collabo hii “Kokoro”

Baada ya kukaa kimya kwa muda kidogo, mwimbaji star kutoka lebel yenye mastaa wakali sana Tanzania, WCB, Richard a.k.a Rich Mavoko a.k.a Tajiri wa Vocals amekutana kwa mara ya kwanza kwenye collabo na Diamond Platnumz, ndani ya brand new joint “Kokoro”
Baada ya kukaa kimya kwa muda kidogo, mwimbaji star kutoka lebel yenye mastaa wakali sana Tanzania, WCB, Richard a.k.a Rich Mavoko a.k.a Tajiri wa Vocals amekutana kwa mara ya kwanza kwenye collabo na Diamond Platnumz, ndani ya brand new joint “Kokoro”.
Mzigo huu ni another hit kutoka “nyumba ya ngoma kali” kama wanavyoiita wenyewe, umetayarishwa na maproducer wawili ambao ni Lizer kutoka WCB na Abby Daddy 
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment