www.kenethngamoga.blogspot.com

PICHA: Baada ya Pogba kutengenezewa viatu kwa ajili ya Man City, Nike wamemtengenezea Rooney

Ni siku moja imepita toka kampuni ya vifaa vya michezo ya kijerumani Adidas kutoa kiatu maalum atakachovaa mchezaji ghali zaidi duniani Paul Pogba katika mechi dhidi ya Man City September 10 katika dimba la Old Trafford.
September 6 2016 kampuni ya vifaa vya michezo ya kimarekani ambayo ina mkataba wa kibiashara na nahodha wa Man United Wayne Rooney wamemtengenezea kiatu nahodha huyo kwa ajili ya mchezo wa derby dhidi ya wapinzani wao wa mji mmoja Man City.
Hata hivyo mchezo wa Man United dhidi ya Man City utakaochezwa katika uwanja waOld Trafford, unatajwa kuwa na mvuto kutokana na kocha wa Man United Jose Mourinho na kocha wa Man City Pep Guardiola kuwa na uadui mkubwa na ndani ya uwanja toka wakiwa Hispania, hivyo watakuwa wanakutana  tena kwa mara ya kwanza katika ardhi ya England.
37F32FBE00000578-3774990-image-a-49_1473115817460

Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment