www.kenethngamoga.blogspot.com

Video:Diamond Platnumz ft P Square ‘Kidogo’ imeachiwa leo JULY 12

Msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye ni muda mrefu umepita toka athibitishe kufanya collabo na wasanii mapacha wanaounda kundi la P SquarePeter &Paul leo July 12 ameamua kuachia rasmi video hiyo iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki, video mpya Diamond ft P Square inaitwa ‘Kidogo’

Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment