www.kenethngamoga.blogspot.com

Jackline Wolper karudi CCM

Msanii wa filamu kutoka Bongo Movie Jackline Wolper jioni ya July 23 2016 akiwa katika mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma alitangaza rasmi kurudiCCM, Jackline Wolper alitangaza kurudi CCM 
Msanii wa filamu kutoka Bongo Movie Jackline Wolper jioni ya July 23 2016 akiwa katika mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma alitangaza rasmi kurudiCCMJackline Wolper alitangaza kurudi CCM wakati wa mkutano huo ambao ulikuwa na kazi ya kumkabidhi uenyekiti wa chama Rais Magufuli.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Jackline Wolper katika uchaguzi mkuu uliopita 2015, alikuwa akimuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Edward Lowassa ambaye alikuwa anaungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ila kwa sasa ameamua kurudi CCM.
IMG-20160724-WA0024
PICHA KUTOKA: Mwananchi Communication
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment