Msanii wa kike kutoka Kenya Avril ametua nchini kimya kimya na alipoulizwa alisema kuwa amekuja kutembea tu lakini amekuwa akionekana na mastaa kadhaa mmojawapo akiwa ni Darassa ambaye ameonekana akiwa naye studio pamoja na producer Abbah kitu ambacho kinabashiriwa kuwa ni kolabo.
Tazama baadhi ya picha za Avril akiwa na Darassa pamoja na Producer Abbah aliyetengeneza wimbo kama Utanipenda wa Darassa na Rich Mavoko.


Ungana na mimi kupitia
Facebook ,
Twitter na
Instagram Pia subscribe
Youtube ili uwe wa kwanza kupata
habari mpya.
Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
0 comments:
Post a Comment