www.kenethngamoga.blogspot.com

Serikali ya Kenya yasema shisha ina Cocaine

Wizara ya afya ya Kenya imekuwa ikitoa tahadhari dhidi ya matumizi ya uvutaji wa shisha ,katika siku hii ya kuadhimisha siku ya tumbaku duniani.

Image copyrightGETTY
Image captionShisha
Wizara ya afya ya Kenya imekuwa ikitoa tahadhari dhidi ya matumizi ya uvutaji wa shisha ,katika siku hii ya kuadhimisha siku ya tumbaku duniani.
Siku hii ilitengwa na Shirika la Afya duniani kuwaonya watu kuhusu hatari za uvutaji wa sigara.
Image captionUjumbe wa Twitter uliochapishwa na wizara ya Afya nchini Kenya
Katika chapisho lao la Twitter , wizara hiyo imesema imepata chembechembe za dawa aina ya cocaine na dawa nyengine katika sampuli 4 kati ya 5 zilizotolewa kwa bidhaa za tumbaku ambazo hutumiwa na watu ambao hutumia viko kuvuta tumbaku.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment