www.kenethngamoga.blogspot.com

Ethiopia yatupa mipira ya kondomu milioni 69

Ethiopia inatarajiwa kutupa mipira ya kondomu milioni 69, iliyonunuliwa kwa kima cha dola milioni mbili kutoka na ubora wa chini wa mipira hiyo

Image copyrightTHINKSTOCK
Ethiopia inatarajiwa kutupa mipira ya kondomu milioni 69, iliyonunuliwa kwa kima cha dola milioni mbili kutoka na ubora wa chini wa mipira hiyo.
Hii ilitangazwa na mfuko wa serikali unaohusika na madawa nchini humo.
Hatua sasa zinachukuliwa kuhakisha kuwa fedha zilizotumika na zilizotolewa na shirika moja la kimataifa linalofadhiliwa na Umoja wa Mataifa
zimerejeshwa.
BBC
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment