www.kenethngamoga.blogspot.com

Video ya SNURA_CHURA YAFUNGIWA

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo May 04 2016 imetoa kauli ya kuufung

ia wimbo wa Snura ‘chura’ kuchezwa kwenye MEDIA kuanzia leo mpaka Snura atakapoifan

yia marekebisho video ya wimbo huo na kuitoa nyimbo hiyo kwenye mitandao ya kijamii 

yote.

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo May 04 2016 imetoa kauli ya kuufungia wimbo wa Snura ‘chura’ kuchezwa kwenye MEDIA kuanzia leo mpaka Snura atakapoifanyia marekebisho video ya wimbo huo na kuitoa nyimbo hiyo kwenye mitandao ya kijamii yote.
Serikali imeeleza sababu ya kuufungia imetokana na maudhui ya utengenezaji wa video hiyo, pia serikali imesitisha maonyesho yote ya hadhara ya Snura mpaka atakapokamilisha taratibu za usajili wa kazi zake za sanaa katika baraza la sanaa la taif
a
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment