www.kenethngamoga.blogspot.com

Bunge limebana matumizi limeokoa hizi bilioni ambazo zimerudishwa kwa watanzania

April 11 2016 Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania, John  Pombe Magufuliamepokea taarifa ya taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ‘Takukuru’ na hundi ya shilingi bilioni sita zilizotolewa na Ofisi ya Bunge baada kutekeleza kwa vitendo kauli ya kubana matumizi yasio na Tija ili fedha hizo zikanunulie madawati kwa ajili ya wanafunzi.

GENERAL NEWS

Picha 12: Bunge limebana matumizi limeokoa hizi bilioni ambazo zimerudishwa kwa watanzania

on
April 11 2016 Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania, John  Pombe Magufuliamepokea taarifa ya taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ‘Takukuru’ na hundi ya shilingi bilioni sita zilizotolewa na Ofisi ya Bunge baada kutekeleza kwa vitendo kauli ya kubana matumizi yasio na Tija ili fedha hizo zikanunulie madawati kwa ajili ya wanafunzi.
1
Rais Maguli akipokea taarifa ya mwaka ya Takukuru kutoka kwa Mkurugenzi Kamishna Valentino Mlowola
2
Rais Magufuli na Naibu Spika Tulia Ackson
4
.
3
.
5
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment