www.kenethngamoga.blogspot.com

RAIS JOHN POMBEJOSEPH MAGUFULI AAPISHWA JIJINI DAR ES SALAAM

1

Dk.John Pombe Magufuli anakuwa rais wa awamu ya tano baada ya kupokea kijiti kwa watangulizi wake Hayati Baba wa Taifa Mwalimu J.K.Nyerere, Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na sasa Dk. Jakaya Kikwete ambaye ndiye aliyemuachia kijiti Dk. Magufuli.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
2
Rais Dk. John Pombe Magufuli akipokea vitendea kazi kutoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed Chande mara baada ya kuapishwa kwenye uwanja wa Uhuru leo, anayeshuhudia kushoto ni Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete.
3
Rais Dk. John Pombe Magufuli akipokea silaha za kijadi kutoka kwa mmoja wa wazee Mzee Job Lusinde mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ungana na mimi kupitia Facebook , Twitter na Instagram Pia subscribe Youtube ili uwe wa kwanza kupata habari mpya.
Share on Google Plus

Keneth Ngamoga

Keneth Ngamoga ni mtangazaji wa radio Pambazuko iliyopo Ifakara.Huwa akisikika katika vipindi tofauti vya burudani.Kwa msaada na ushauri Wasiliana na Keneth Ngamoga Kupitia namba
+255655632798
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment